Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

RONALDO ATOA KIATU CHAKE CHA DHAHABU KIUZWE MAPATO YAENDA KUSAIDIA WATOTO GAZA


Vyombo vya habari vingi barani ulaya vimeripoti kwamba Cristiano Ronaldo ametoa msaada wa €1.5 million kwa watoto wa mji wa Gaza. Lakini ukweli ni kwamba msaada huo umetoka kwa Real Madrid foundation ambao walichangisha kiasi hicho kutokana na mauzo kiatu cha dhahabu alichoshinda Ronaldo msimu wa 2010-11.

Mwaka jana Mreno huyo aliuza viatu vyake vingi vya michezo na fedha zilizopatikana alizitoa kwa Real Madrid Foundation ambao wakazipeleka kwa shule za watoto huko Gaza.

Real Madrid Foundation imesaidia kujenga shule 167 katika nchi 66 tofauti.

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top