Jumla ya wanamitindo kumi na 
mbili wamechaguliwa kuingia katika shindano la kusaka UNIQUE MODEL OF A YEAR 
2012 ambapo usaili huo ulifanyika katika Hoteli ya Lamada 
jumapili. Wanamitindo hao ni Elizabeth 
Petty,Phina revocatus,Amina Ayoub,Vivian Gilbert,Mwanaidi Mokitu,Elizabeth 
Boniface,Magreth M safiri,Berther Beson,Jennifer  Njabili 
..........
 |  
 
 
 
 | 
 
| 
Wadau kadhaa wakimpa pongezi mkurugenzi wa 
shindano Methuselah 
Magese baada ya kazi nzito ya usaili kumalizika.pembeni ni baadhi ya models 
wasubiri picha za hapa na 
pale.
 |  
 
 
 
 | 
 
 
 
 
  on Monday, November 19, 2012
 
Post a Comment