![]() |
Zoezi la utambuzi wa wahusika wa mauaji. |
Watu hao ni Muganyizi Michael Peter (36), Chacha Waitare Mwita (50), magige Mwita Marwa (48), Bugazi Edward Kusuta pamoja na Bhoke Marwa Mwita (42).
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgdP8yNag6BHG6BJ4UiuUIzZMNgC3wz2Afa155ZYBa7Of_fkrMURreDEs4xuuYlkecjf8MuEMsULgRXZ45bTwScvfjZuG8MoohssMuSZ8VGUj2Md0oayWwM0-GYojGNBjg0Z0yD-z-o9YlG/s400/tundu+lisu,+mwanza.jpg)
Mwendesha mashitaka huyo akitaja kuwa upelelezi bado ungali ukiendelea ameiomba mahakama kuahirisha kesi hiyo.
Ombi hilo limekubaliwa na sasa kesi hiyo imepangwa kusomwa tena tarehe 15 November 2012.
Watuhumiwa hao waliondoka eneo hilo la mahakama chini ya ulinzi mkali huku wakiwa wamemshikilia huku na huku mtuhumiwa mwenzao Muganyizi Michael Peter (aliyetajwa na wenzie kuwa ndiye aliye mpiga risasi na kumuua Kamanda Barlow) anayetembea kwa taabu.
Post a Comment