Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WAZIRI PROF. JUMANNE MAGHEMBE AZINDUA MRADI MKUBWA WA MAJI KATA YA ENDAGILE BABATI VIJIJINI

Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe (mwenye miwani,) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Mradi Mkubwa wa Maji Vijijini katika Kata ya Endagile Babati Kijijini Jumatano wiki hii. Kulia kwa Mhe. Waziri ni Mbunge wa Babati Vijijini Mhe. Jeetu Soni.

Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe (mwenye miwani,) akifunua pazia kuashiria uzinduzi wa Mradi Mkubwa wa Maji Vijijini katika Kata ya Endagile Babati Kijijini Jumatano wiki hii. Kulia kwa Mhe. Waziri ni Mbunge wa Babati Vijijini Mhe. Jeetu Soni.
Waziri wa Maji Mhe. Prof. Jumanne Maghembe akimtishwa ndoo ya Maji Fatuma Maulid baada ya kuzindua Mradi Mkubwa wa Maji Vijijini. Wa kwanza kushoto ni Diwani wa Kata hiyo Mhe. Nicodemus Tarmo.
Waziri wa Maji Mhe. Prof. Jumanne Maghembe akiangalia ng’ombe wakinywa maji baada ya kufungua mradi huo, pamoja na Mbunge wa Babati Vijijini Mhe. Jeetu Soni.
Moja ya chanzo cha maji
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top