Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WAZIRI SHAMHUNA APOKEA MSAADA KUTOKA KOICA

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Ali Juma Shamhuna (wamwanzo kulia)akitoa hotuba katika sherehe za kukabidhiwa Madarasa 17yaliofanyiwa Ukarabati pamoja na Madawati180yaliotengenezwa ikiwa ni msaada kutoka Shirika la Maendeleo la KOICA kutoka Korea,kwa ajili ya Skuli ya kukabidhiwa Madarasa 17yaliofanyiwa Ukarabati pamoja na Madawati180yaliotengenezwa Chuini ilio kaskazini Unguja kushoto yake ni Meneja wa Shirika la KOICA Seung Beom Kim.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Ali Juma Shamhuna akimkabidhi Cheti cha Shukurani na Ushirikiano Meneja wa Shirika la KOICA kutoka Korea Seung Beom Kim.katika Hafla ya Sherehe za kukabidhiwa Madarasa 17yaliofanyiwa Ukarabati pamoja na Madawati180yaliotengenezwa na Shirika hilo kwa ajili ya Skuli ya Chuini ilio kaskazini Unguja
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top