Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

AZAM WAWASILI DAR NA "MWALI" WAO

Nahodha wa Azam, Jabir Aziz Stima akishuka kwenye ndege na Kombe la Hisani la FECOFA, Shirikisho la Soka la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam usiku wa jana, baada ya kuwasili wakitokea Kishansa, DRC walikotwaa taji hilo, kufuatia ushindi wa penalti 4-2 dhidi ya Dragons Jumamosi kwenye Uwanja wa Martyrs mjini humo. Azam FC ilifika jana saa 6:15 usiku baada ya safari ndefu kuanzia saa 11:00 Alfajiri kutoka Kinshasa.


kocha aliyeipa timu ubingwa, Kali Ongala akitoka Uwanja wa Ndege

Picha na Bin Zubeiry
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top