|
Nahodha wa
Azam, Jabir Aziz Stima akishuka kwenye ndege na Kombe la Hisani la FECOFA,
Shirikisho la Soka la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam usiku wa jana, baada ya kuwasili
wakitokea Kishansa, DRC walikotwaa taji hilo, kufuatia ushindi wa penalti 4-2
dhidi ya Dragons Jumamosi kwenye Uwanja wa Martyrs mjini humo. Azam FC ilifika
jana saa 6:15 usiku baada ya safari ndefu kuanzia saa 11:00 Alfajiri kutoka
Kinshasa.
|
|
kocha
aliyeipa timu ubingwa, Kali Ongala akitoka Uwanja wa Ndege
Picha na Bin Zubeiry |
on Tuesday, December 25, 2012
Post a Comment