Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Dkt. Fenella Mukangara apokea vifaa utamaduni kutoka kwa Balozi wa China



Balozi wa Jamhuri ya watu wa China Mhe. Lu Youiqing akitoa maelezo mafupi kabla ya kumkabidhi Mhe. Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara( kulia) vifaa vitakavyosaidia katika sekta ya Utamaduni.
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara akijaribu moja ya Vifaa alivyopokea kwa niaba ya Serikali kutoka Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China ikiwa ni kudumisha na kuendeleza ushirikiano baina ya Serikali ya Tanzania na China.Vifaa hivyo vitasaidia katika sekta ya Utamaduni, anaeshuhudia ni Balozi wa China nchini Mhe. Lu Youiqing. Picha na Benjamin Sawe
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top