Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

FM ACADEMIA YAPAGAWISHA MASHABIKI WAKE WAKATI WA PROMOSHENI YA BIA YA WINDHOEK

 

Wanamuziki wa bendi ya FM Academia wakitumbuiza wakati wa promosheni ya bia ya Windhoek uliofanyika katika ukumbi wa Alcade wakati wa sherehe ya Sikukuu ya Krismasi jijini Dar es Salaam. Bendi hiyo inadhaminiwa na kampuni ya Mabibo Wine kupitia kinywaji chake cha Windhoek. (Picha na Habari Mseto Blog)
Kiongozi wa bendi ya FM Academia, Nyoshi El Sadati (kushoto) akiwaongoza wanamuziki wa bendi hiyo wakati wa promosheni ya bia ya Windhoek iliyofanyika katika ukumbi wa Alcade
 
 
Wacheza shoo wa FM Academia wakifanya vitu vyao jukwaani
 
 
Baadhi ya mashabiki wa FM Academia wazee wa Ngwasuma wakiselebuka
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top