Mwalimu Mkuu wa Shule ya
Sekondari ya Zogowale, iliyopo Wilayani Kibaha mkoani Pwani,Tatu Mwamballa akibadilishana hati za
makubalkino na Ofisa Ubalozi wa Japan nchini Tanzania, Kazuyoshi Matsunaga baada ya kutiliana saini
Mkataba wa Makubaliano ya kuisaidia shule hiyo kiasi cha Fedha Dola za
Kimarekani Milioni 122,614 kwaajili ya ujenzi wa Mabweni ya Wanafunzi wa kike
shuleni hapo.
Mwalimu Mkuu wa Shule ya
Sekondari ya Zogowale, iliyopo Wilayani Kibaha mkoani Pwani, Tatu Mwamballa
(kushoto) Ofisa wa Balozi wa Japan nchini Tanzania, Kazuyoshi Matsunaga na Mkuu
wa Wilaya ya Kibaha, Halima Kihemba wakijadili jambo wakati wa kutiliana saini
Mkataba wa Makubaliano ya kuisaidia shule hiyo kiasi cha Fedha Dola za
Kimarekani Milioni 122,614 kwaajili ya ujenzi wa Mabweni ya Wanafunzi wa kike
shuleni hapo
Mwalimu Mkuu wa Shule ya
Sekondari ya Zogowale, iliyopo Wilayani Kibaha mkoani Pwani,Tatu Mwamballa akitiliana saiani hati za
makubalkino na Ofisa Ubalozi wa Japan nchini Tanzania, Kazuyoshi Matsunaga Mkataba wa Makubaliano ya
kuisaidia shule hiyo kiasi cha Fedha Dola za Kimarekani Milioni 122,614 kwaajili
ya ujenzi wa Mabweni ya Wanafunzi wa kike shuleni hapo.
Kazuyoshi Matsunaga
akizungumza na baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Zogowale
Mwalimu Mkuu wa Shule ya
Sekondari ya Zogowale, iliyopo Wilayani Kibaha mkoani Pwani,Tatu Mwamballa na
Ofisa Ubalozi wa Japan nchini Tanzania, Kazuyoshi Matsunaga wakipiga picha na
baadhi ya wanafunzi ya Wshule ya Zogowale baada ya kutiliana saini Mkataba wa
Makubaliano ya kuisaidia shule hiyo kiasi cha Fedha Dola za Kimarekani Milioni
122,614 kwaajili ya ujenzi wa Mabweni ya Wanafunzi wa kike shuleni hapo.
Post a Comment