Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

ODINGA NA MUSYOKA WAUNGANA


Waziri Mkuu, Raila Odinga
Makamu wa Rais, Kalonzo Musyoka.
Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Odinga na Makamu wa Rais wa nchi hiyo, Kalonzo Musyoka, wameunda muungano wa kisiasa kuelekea mshike mshike wa uchaguzi mkuu unaotajia kufanyika mwakani, nchini humo. Imeelezwa kuwa wawili hao wameamua kuunganisha nguvu ili kujiandaa kutoa upinzani kwa chama Tawala na vyama vingine vya siasa vinavyshiriki katika uchaguzi huo.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top