Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

TANZANIA YAWASILISHA TAARIFA YAKE YA MABADILIKO YA TABIA NCHI KATIKA MKUTANO WA COP 18 MJINI DOHA



Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais –Mazingira ambae pia ni Rais wa Baraza la Mawaziri wa Mazingira Afrika, Dk Terezya Huvisa, akijadili jambo na Mwenyekiti wa Dunia wa Kamati ya Taaluma na Sayansi ya Mabadiliko ya Tabia nchi, Richard Muyungimuda mfupi kabla ya Waziri Dk. Huvisa kuwasilisha taarifa ya Tanzania kwa Rais wa COP katika Mkutano wa 18 wa dunia wa mabadiliko ya tabia nchi unaoendelea mjni Doha (Picha na Evelyn Mkokoi).
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top