Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akizungumza na Waziri Mkuu wa Rwanda Dkt. Hebumuremy Pierre Damien leo kwenye hoteli ya Serena Mjini Kigali.
Waziri Mkuu wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda akisalimana na Waziri Mkuu wa Rwanda Dkt. Habumuremyi Pierre Damien kabla ya mazungumzo yao leo mjini Kigali. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).