Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

BALOZI SEIF ALI IDDI ATEMBELEA KUKAGUA JENGO LA UKUMBI WA CHACHANI PEMBA



Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, alifanya ziara ya ghafla kulikagua jengo la mikutano la Chachani Chake Chake Pemba, hapa alikuwa akibadilishana mawazo na Mkuu wa Mkoa Kusini Pemba, Canal Mstaafu Juma Kassim Tindwa, jinsi ya kulinusuru jengo hilo.
Jukwaa la ukumbi wa Mikutano wa Chachani chake, lililokuwa likitumiwa na waheshimiwa kwa mikutano na Vikao sambamba na burudani, ambalo kwa sasa limekuwa makazi ya mchwa.
Hii ni hali halisi ya eneo la ndani ya ukumbi maarufu wa mikutano uliopo Chachani Chake Chake Pemba, ambao awali ukumbi huo ulikuwa ni jengo maalum la sinema.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, akitembelea kukagua kwa nje ya jengo la ukumbi wa mikutano la Chachani Chake Chake Pemba, ambalo liko katika hali mbaya.Mpiga picha Hassan Issa- OMPR-ZNZ
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top