Baada ya kukemea uwizi wa vifaa vya magari na kufanikiwa kukamata baadhi ya wezi
wanaohusika na matukio hayo ya uibaji wa vifaa vya magari,sasa leo Mh.Temba
ameibiwa tena vifaa vya gari yake na vifaa hivyo ni Power Window,Dashbody,Side
mirrow na vitu vingine vyenye gharama kubwa.Baada ya kuibiwa vifaa hivyo aliweza kutangaza ila hakufanikiwa kupata hata kimoja ila amesharipoti katika kituo cha Polisi,sasa
Kupitia katika mtandao wa twitter wasanii wanafunguka juu ya uibaji wa vifaa hivyo vya magari wamechoshwa.
http://djfetty.blogspot.com



Post a Comment