Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Mtuhumiwa wa mauaji ya mwangosi na askari wenzake wamdharau hakimu,waomba msamaha

 

Askari Polisi wakimrejesha mahakamani mtuhumiwa wa mauaji ya aliyekuwa mwandishi wa Kituo cha Televisheni cha Chanel Ten na Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Iringa, marehemu Daudi Mwangosi, askari wa FFU mwenye namba G2573 Pasificus Cleophace Simoni (23) (aliyevaa kofia nyekundu baaada ya kutoroshwa kizimbani kabla ya mahakama kumaliza shughuli zake, picha ya chini ikimuonesha wakati akirudishwa ndani ya mahakama leo. (Picha na Francis Godwin)
 
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top