Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la 
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Viongozi 
mbali mbali alipowasili kufungua Skuli ya Sekondari ya Madungu Wilaya 
Chake chake Pemba jana,katika kuadhimisha miaka 49 ya Mapinduzi 
Matukufu ya Zanzibar,{Picha na Ramadhan 
Othman,Ikulu.}
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la 
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akifunua pazia kuashiria kufunguliwa kwa  
Skuli ya Sekondari ya Madungu Wilaya Chake chake Pemba jana,katika kuadhimisha miaka 
49 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,(kushoto) Waziri wa Elimu 
na Mafunzo ya Amali Ali Juma Shamuhuna,{Picha na Ramadhan 
Othman,Ikulu.}
Rais 
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali 
Mohamed Shein,Akifungua Skuli ya Sekondari ya Madungu 
Wilaya Chake chake Pemba jana,katika kuadhimisha miaka 49 ya Mapinduzi 
Matukufu ya Zanzibar,{Picha na Ramadhan 
Othman,Ikulu.}
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la 
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akitembelea katika maabara ya Skuli ya 
Sekondari ya Madungu Wilaya Chake chake Pemba jana,baada ya 
kuifungua rasmi katika kuadhimisha miaka 49 ya Mapinduzi Matukufu ya 
Zanzibar,{Picha na Ramadhan 
Othman,Ikulu.}
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la 
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akitembelea katika chumba cha maktaba  ya 
Skuli ya Sekondari ya Madungu Wilaya Chake chake Pemba jana,baada ya 
kuifungua rasmi katika kuadhimisha miaka 49 ya Mapinduzi Matukufu ya 
Zanzibar,{Picha na Ramadhan 
Othman,Ikulu.}






Post a Comment