Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

TASWIRA ZA ZIARA YA NAIBU WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII TARIME

 

Naibu Waziri ,Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto,Mhe. Ummy mwalimu (wa pili kulia) akiwa pamoja na Kamishna Msaidizi wa Polisi na Mkuu wa Dawati la Jinsia la Polisi,Adolphina Chalo (kushoto), Katibu Tawala Tarime,Erenest Kabohora na Mwenyekiti wa halmashauri Tarime,wakati alipofanya Ziaya katika Wilaya ya Tarime ya kuhamasisha Wananchi wa Wilaya hiyo kuacha utamaduni wa Kuwakeketa watoto wa kike.
Mmoja wa wananchi akichangia hoja wakati wa mkutano wa hadhara kuhamasisha kuacha vitendo vya Ukeketaji.
Kundi la Vijana wakisherekea baada ya watoto wa kike kukeketwa.


Sehemu ya wanawake waliohudhuria katika mkutano wa hadhara juu ya uhamasishaji wa kuachana na vitendo vya ukeketaji.

Mhe.Ummy Mwalimu katika picha ya pamoja na wazee wa mila katika kijiji cha Kiongera, Kamishna Msaidizi ,Katibu Tawala na Mwenyekiti wa Halmashauri
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top