Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

UJUMBE WA CHUO CHA ULINZI CHA TAIFA WAKUTANA NA MAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR MAALIM SEIF SHARIF HAMAD.

 

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akipokea zawadi kutoka kwa kiongozi wa ujumbe wa wanafunzi kutoka Chuo Cha Ulinzi Cha Taifa Brigedia General R S Laswai, uliofikia ofisini kwake Migombani kwa ajili ya kuonana nae.
Kiongozi wa Ujumbe wa wanafunzi wa Chuo Cha Ulinzi Cha Taifa Brigedia General R S Laswai (aliyesimama) akiutambulisha ujumbe huo kwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad walipofika ofisini kwake Migombani kwa ajili ya kuonana nae.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akiwa katika picha ya pamoja na ujumbe wa wanafunzi wa Chuo Cha Ulinzi Cha Taifa uliofikia ofisini kwake Migombani kwa ajili ya kuonana nae. Picha na Salmin Said, OMKR
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top