|
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri
Kuu ya Taifa ya CCM Balozi Seif Ali Iddi akizindua jiwela la Msingi la ujenzi wa
Mradi mkubwa wa Katala Beach Hoteli uliyopo pembezoni mwa Bwawa la Singida Mjini
Singida ikiwa shamra shamra za maadhimisho ya kutimiza miaka 36 ya kuzaliwa kwa
CCM
|
|
Kikundi cha Utamaduni cha Mkoa wa
Singida kikitumbuiza wakati wa mapokezi ya mlezi wa mkoa huo
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Balozi Seif Mara baada
kuwasili Mkoani humo kwa ajili ya kuongoza matembezi ya mshakamano kutimiza
miaka 36 tokea kuzaliwa kwa CCM Mwaka
1977.
|
|
Mlezi wa Mkoa wa Singida kichama ambae
pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Balozi Seif Ali
Iddi akipanda mti wa kumbukumbu akiwa sambamba na mmiliki wa mradi huo Nd.
Katala Kitila mara baada ya kuweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa Katala
Beach Hoteli Mjini Singida
|
on Sunday, February 3, 2013
Post a Comment