Meneja wa
Ufuatliaji wa Mipango Kazi na Mpango Mkakati wa Bohari ya Dawa (MSD), Cosmas
Nalimi akielezea jinsi MSD ilivyojidhatiti kuboresha huduma nchini, wakati wa
Kongamano la Nane la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) la kujadili tafiti
zilizofanywa na wanahabari kuhusu matumizi ya fedha zinazochangwa na wananchi
kwa ajli ya masuala ya afya katika halmashauri 26 nchini. Kongamano hilo
lilifanyika mwishoni mwa wiki mjini Mtwara. Baadhi ya dawa za msd inadaiwa
zinauzwa nje ya nchi ikiwemo Cameroon.

Msajili wa
Baraza la Pharmacy Tanzania, Dk. Midred Kinyara, akielezea mikakati ya usajili
wa maduka ya dawa baridi vijijini wakati wa kongamano hilo.PICHA NA KAMANDA WA
MATUKIO
Post a Comment