Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

BUNGENI KWAWAKA MOTO KIKAO CHA BUNGE CHAVUNJIKA



Hali ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania si shwari baada ya wabunge wa CCM na Chadema kuvutana bungeni sasa .
Hivi sasa mwanasheri mkuu wa serikali ameingilia kati kwa kutoa japo uwezekano wa kuongea umekuwa mgumu baada ya wabunge wa Chadema kufanya vurugu kubwa kwa kuimba CCM! CCM!,CCM !!
Hadi sasa hali imeendelea kuwa tete katika ukumbi huo wa bunge baada ya wabunge kugomea hoja hiyo ya mbunge wa jimbo la Ubunge John Mnyika na bunge kuhairishwa na bunge limevunjika hadi kesho asubuhi
Fuatilia..!
source http://dodoma-yetu.blogspot.com
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top