Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

JK ATUA KIGOMA KUONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 36 YA CCM

 

7Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Dk. Jakaya Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete wakisalimiana na wafanyakazi wa ndege ya Rais mara baada ya kushuka kwenye ndege alipowasili katika uwanja wa ndege wa Kigoma leo jioni, kwa ajili ya sherehe za miaka 36 ya CCM zitakazofanyika kesho kwenye uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa chama hicho pamoja na viongozi wa vyama rafiki vya CCM kutoka nchi jirani za Burundi na DRC Congo.
8Rais Jakaya Kikwete akivishwa skafumara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kigoma leo jioni kutoka kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Mzee Philip Mangula na katikati ni Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdurahman Kinana.
6Ndege iliyomleta Rais Jakaya Kikwete ikiwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kigoma leo jioni huku ikilakiwa na wananchi waliojitokeza kumpokea Rais.
9Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Shaaban Kirumbe Mjumbe wa NEC Wilaya ya Kigoma mjini, kulia ni Peter Selukamba Mbunge wa Jimbo la Kigoma mjini.
10Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na wananchi mbalimbali waliojitokeza kumlaki kwenye uwanja wa ndege wa Kigoma.
11Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Asha Baraka Mjumbe wa NEC Wilaya ya Uvinza
12Rais Jakaya Kikwete akiwa amembeba mtoto Khalfan Majjid huku akizungumza naye kwenye uwanja wa ndege wa Kigoma kushoto ni Baba mzazi wa mtoto huyo Majjid Khalfan.
13Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Nape Nnauye Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi na Uenezi mara baada ya kuwasili mjini Kigoma leo.
14 Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na wananchi mbalimbali waliojitokeza kumlaki kwenye uwanja wa ndege wa Kigoma
15Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na wananchi mbalimbali waliojitokeza kumlaki kwenye uwanja wa ndege wa Kigoma
16Rais Jakaya Kikwete akiangalia vikundi vya ngoma kwenye uwanja wa ndege wa Kigoma.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, na Rais Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mzee Mwilima.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, na Rais Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete akitazama burudani ya ngoma kutoka kundi la Warumba Shauri la mkoani Kigoma. Anayepiga Ngoma ni Mwajuma Hussein wa kundi hilo.














1Wadau kutoka CCM Makao Mkuu kutoka kulia ni Lusekelo,Dr. Alice,Hassan,Jestina na Beatus wakishoo Love wakati wa mapokezi ya Rais Jakaya Kikwete katika uwanja wa ndege wa Kigoma.
3Mwigulu Nchema Naibu katibu Mkuu Bara CCM akisalimiana na Asha-Rose Migiro Katibu wa Halmashauri Kuu Siasa na Uhusiano wa Kimataifa wakati wa mapokezi ya Rais Jakaya Kikwete , Katikati ni Mkuu wa Wilaya ya Kibondo Venance Mwamoto.
4Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Mzee Philip Mangula akijadiliana Jambo na Daniel Sanzugwako mjumbe wa NEC CCM Kasulu.
5Katibu Mkuu wa CCM akimsiliza Mwanalibeneke Issa Michuzi wakati wa mapokezi ya Rais Jakaya Kikwete kwenye uwanja wa ndege wa Kigoma katikati ni Nape Nnauye Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi na Uenezi
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top