|
Mjumbe wa
Halmashauri Kuu ya CCM Mhe Asha Abdalla Juma,akizungumza na
Wanawake wa Jumuiya ya Akina Mama wa CCM UWT katika ujenzi wa Taifa wa Ofisi
ya Jumuiya hiyo,ikiwa ni katika maadhimisho ya miaka 36 ya kuzaliwa kwa
CCM,ujenzi huo wa Taifa ulifanyika leo katika Ofisi ya Jimbo la
Mpendae CCM. |
|
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mhe Asha
Abdalla Juma (suruali ya kijani) akishirikiana na Wanawake
wa Jumuiya ya Akina Mama wa CCM
UWT katika ujenzi wa Taifa wa Ofisi ya Jumuiya hiyo,ikiwa ni katika
maadhimisho ya miaka 36 ya kuzaliwa kwa CCM,ujenzi huo wa Taifa ulifanyika leo
katika Ofisi ya Jimbo la Mpendae CCM.
|
|
Kazi ya kupokezana ndoo ya
udongo ikiendelea. |
on Sunday, February 3, 2013
Post a Comment