Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

SHUHUDIA PICHA MBALIMBALI ZA VURUGU ZA WANACCM NA WAFUASI WA CHADEMA MKOANI DODOMA JANA


Wafuasi wa CCM wakigombea mlingoti wa kusimika bendera na wafuasi wa Chadema katika eneo la Mwanga Baa, mkoani Dodoma jana. Wa pili kulia ni Mbunge wa Tabora Mjini (CCM), Ismail Aden Rage.
Wafuasi wa CCM wakimtoa nduki mfuasi wa Chadema, Arnold Swai, wakati wa vurugu zilizotokea eneo la Mwanga Baa, mkoani Dodoma jana wakati CCM wakifanya mkutano ambao ni sehemu ya sherehe za miaka 36 ya kuzaliwa…
Wafuasi wa CCM wakigombea mlingoti wa kusimika bendera na wafuasi wa Chadema katika eneo la Mwanga Baa, mkoani Dodoma jana. Wa pili kulia ni Mbunge wa Tabora Mjini (CCM), Ismail Aden Rage.
Wafuasi wa CCM wakimtoa nduki mfuasi wa Chadema, Arnold Swai, wakati wa vurugu zilizotokea eneo la Mwanga Baa, mkoani Dodoma jana wakati CCM wakifanya mkutano ambao ni sehemu ya sherehe za miaka 36 ya kuzaliwa kwake.
WanaChadema na wafuasi wa CCM wakigombea mlingoti wa bendera jana mkoani Dodoma.
Mbunge wa Tabora Mjini (CCM), Ismail Aden Rage na wenzake wakimnyang'anya mlingoti mfuasi wa Chadema, Arnold Swai, wakati wa vurugu hizo.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top