Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

TASWIRA ZAIDI KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA

1-wabunge wakielekea katika ukumbi wa BungeBaadhi ya wabunge wa Jamhuri ya Muungano wakielekea katika mkutano wa kumi kikao cha saba leo mjini Dodoma (Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO).

2-Ndsamburo (kulia) na  Christowaja  Mtinda (kusho)Mbunge wa Moshi Mjini Philemon Ndesamburo (kulia) na Christowaja Mtinda (Viti Maalumu) wakielekea katika ukunbi wa Bunge – Dododma leo (Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO).
3-NW wa  maendeleo ya Jamii, jinsia na watoto Ummy Mwalimu akijibu hojaNaibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii na Jinsia ya Watoto Ummy Mwalimu akijibu hoja mbalimbali za Wizara yake Bungeni leo.

4-wanafunzi wa shule ya Independence kutoka dar wakitambulishwa BungeniWanafunzi wa Shule ya Independence kutoka Dar es Salaam wakitambulishwa Bungeni leo.

5-waziri wa Fedha William Mgimwa akijibu hoja za Wizra yake.Waziri wa Fedha William Mgimwa akijibu hoja ya Amina Mwindau (Viti Malumu-hayupo pichani) kuhusu Deni la taifa limekuwa likiongezeka kwa kasi kubwa mwaka hadi mwani, na kutaka kujua Je, serikali ina mikakati gani wa kukabiliana na deni hilo.(Picha na MAELEZO)
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top