Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

UONE UTOTO ULIVYO KWA WABUNGE WETU .... VURUGU ZAO BUNGENI ZASABABISHA KUAHIRISHWA KIKAO CHA BUNGE

 




 Mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani Tundu Lissu, akitoka ndani ya ukumbi wa Bunge....


Wabunge wa upinzani wakisimama kupinga hoja wakati wa kikao cha Bunge kikiendelea, mjini Dodoma leo.


Wabunge wa upinzani wakisimama wote kwa pamoja ukumbini.


Naibu Spika Job Ndugai (kulia) akijadiliana jambo katika makabrasha na Mbunge wa Aurmeru Mashariki Joshua Nassari, baada ya kuahurishwa kwa kikao cha Bunge baada ya kutokea kutoelewani ukumbini humo, wakati wabunge wa upinzani walipokuwa wakipinga hoja.

TUNDU lISSU na Mchungaji Msigwa (kushoto)


Naibu Spika Job Ndugai (kushoto) akijadilia jambo na Tundu Lissu, nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma, leo.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top