Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

BALOZI WA INDIA NCHINI AMTEMBELEA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI, DK EMMANUEL NCHIMBI OFISINI KWAKE, JIJINI DAR ES SALAAM.



Balozi wa India nchini, Debnath Shaw (kulia) akimkabidhi zawadi Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi wakati balozi huyo alipofanya ziara ya kikazi wizarani hapo, jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi (kushoto) akizungumza jambo na Balozi wa India nchini, Debnath Shaw. Balozi na waziri huyo walijadili masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya ubalozi huo na wizara.
Balozi wa India nchini, Debnath Shaw (kulia) akizungumza jambo na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi. Balozi na waziri huyo walijadili masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya ubalozi huo na wizara.


PICHA ZOTE NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top