Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Waziri wa Ujenzi,
Dkt. John Pombe Magufuli, Mkuu wa Mkoa wa Mara, Gabriel Tupa, wakifurahia kwa
pamoja baada Makamu kuweka Jiwe la Msingi katika mradi wa ujenzi wa Nyumba za
Watumishi wa Umma, wakati wa hafla hiyo iliyofanyika jana Machi 5, 2013 Wilaya
ya Musoma, Mkoa wa Mara, wakati Makamu akiwa katika ziara yake ya siku mbili
mkoani humo. Picha na OMR
Makamu wa rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal na mkewe Mama Asha
Bilal, wakisikiliza maelezo na kuoneshwa Ramani za ujenzi wa nyumba za watumishi
wa Umma, wakati Makamu alipofika eneo hilo kuweka jiwe la msingi Ujenzi wa
nyumba hizo jana Machi 5, 2013. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, mkewe Mama Asha
Bilal, Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Pombe Magufuli, Mkuu wa Mkoa wa Mara, Gabriel
Tupa na viongozi wengine wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi
wa TBA, mara baada ya Makamu kuweka jiwe la Msingi katika mradi wa ujenzi wa
Nyumba za watumishi wa Umma, jana Machi 5,2013. Picha na
OMR
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL
AZUNGUMZA NA WANACHAMA WA CCM MUSOMA MJINI
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza wakati
alipokutana na Wanachama wa CCM mkoa wa Mara katika Ukumbi wa CCM mkoa uliopo
eneo la Nyasho Musoma mjini, wakati Makamu akiwa katika ziara yake ya siku mbili
mkoani Mara. Picha na OMR
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL
AWAHUTUBIA WANANCHI WA MUSOMA MKOA WA MARA
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwahutubia
wananchi wa Musoma Mjini Mkoa wa Mara, katika mkutano wa hadhara uliofanyika
katika Uwanja wa Mukendo jana Machi 5, 2013 ikiwa ni siku ya mwisho ya zaiara
yake mkoani Mara. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na
baadhi ya wazee wa mkoa wa Mara wakati akiagana nao baada ya kuwahutubia katika
mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja wa Mukendo jana Machi 5, 2013.ikiwa
ni siku ya mwisho ya zaiara yake mkoani Mara. Picha na OMR
Juu na chini ni Waziri
wa Ujenzi, Dkt. John Pombe Magufuli, akizicharaza Tumba za bendi ya Msondo
Ngoma, wakati bendi hiyo ilipokuwa ikitoa burudani kwenye mkutano wa hadhara
uliofanyika kwenye Uwanja wa Mukendo Musoma mjini Mkoani Mara jana Machi 5,
2013, wakati Makamu wa Rais Dkt. Bilal, alipokuwa akiwahutubia wananchi wa mkoa
huo. Kushoto ni wanamuziki wa bendi hiyo, wakimshabikia. Picha na
OMR
Wanamuziki wa bendi ya
Msondo Ngoma, wakionyesha umahiri wao wa kupuliza 'midomo ya bata' wakati wa
bendi hiyo ilipokuwa ikitoa burudani kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika
kwenye Uwanja wa Mukendo Musoma mjini Mkoani Mara jana Machi 5, 2013, wakati
Makamu wa Rais Dkt. Bilal, alipokuwa akiwahutubia wananchi wa mkoa huo. Picha na
OMR
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Waziri wa Ujenzi,
Dkt. John Pombe Magufuli, Mkuu wa Mkoa wa Mara, Gabriel Tupa, wakifurahia kwa
pamoja baada Makamu kuweka Jiwe la Msingi katika mradi wa ujenzi wa Nyumba za
Watumishi wa Umma, wakati wa hafla hiyo iliyofanyika jana Machi 5, 2013 Wilaya
ya Musoma, Mkoa wa Mara, wakati Makamu akiwa katika ziara yake ya siku mbili
mkoani humo. Picha na OMR
Makamu wa rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal na mkewe Mama Asha
Bilal, wakisikiliza maelezo na kuoneshwa Ramani za ujenzi wa nyumba za watumishi
wa Umma, wakati Makamu alipofika eneo hilo kuweka jiwe la msingi Ujenzi wa
nyumba hizo jana Machi 5, 2013. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, mkewe Mama Asha
Bilal, Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Pombe Magufuli, Mkuu wa Mkoa wa Mara, Gabriel
Tupa na viongozi wengine wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi
wa TBA, mara baada ya Makamu kuweka jiwe la Msingi katika mradi wa ujenzi wa
Nyumba za watumishi wa Umma, jana Machi 5,2013. Picha na
OMR
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL
AZUNGUMZA NA WANACHAMA WA CCM MUSOMA MJINI
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza wakati
alipokutana na Wanachama wa CCM mkoa wa Mara katika Ukumbi wa CCM mkoa uliopo
eneo la Nyasho Musoma mjini, wakati Makamu akiwa katika ziara yake ya siku mbili
mkoani Mara. Picha na OMR
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL
AWAHUTUBIA WANANCHI WA MUSOMA MKOA WA MARA
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwahutubia
wananchi wa Musoma Mjini Mkoa wa Mara, katika mkutano wa hadhara uliofanyika
katika Uwanja wa Mukendo jana Machi 5, 2013 ikiwa ni siku ya mwisho ya zaiara
yake mkoani Mara. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na
baadhi ya wazee wa mkoa wa Mara wakati akiagana nao baada ya kuwahutubia katika
mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja wa Mukendo jana Machi 5, 2013.ikiwa
ni siku ya mwisho ya zaiara yake mkoani Mara. Picha na OMR
Juu na chini ni Waziri
wa Ujenzi, Dkt. John Pombe Magufuli, akizicharaza Tumba za bendi ya Msondo
Ngoma, wakati bendi hiyo ilipokuwa ikitoa burudani kwenye mkutano wa hadhara
uliofanyika kwenye Uwanja wa Mukendo Musoma mjini Mkoani Mara jana Machi 5,
2013, wakati Makamu wa Rais Dkt. Bilal, alipokuwa akiwahutubia wananchi wa mkoa
huo. Kushoto ni wanamuziki wa bendi hiyo, wakimshabikia. Picha na
OMR

Wanamuziki wa bendi ya
Msondo Ngoma, wakionyesha umahiri wao wa kupuliza 'midomo ya bata' wakati wa
bendi hiyo ilipokuwa ikitoa burudani kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika
kwenye Uwanja wa Mukendo Musoma mjini Mkoani Mara jana Machi 5, 2013, wakati
Makamu wa Rais Dkt. Bilal, alipokuwa akiwahutubia wananchi wa mkoa huo. Picha na
OMR
Post a Comment