Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

NANCY SUMARI AZINDUA KITABU CHA WATOTO NYOTA YAKO


 




Miss World Africa 2005, Nancy Sumari leo amezindua kitabu chake cha watoto kiitwacho Nyota Yako. Uzinduzi huo umefanyika jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na watu mbalimbali maarufu wakiwemo mamiss Tanzania wa zamani, Jacqueline Ntuyabaliwe na Faraja Nyalandu.
Nancy Sumari akizungumza kwenye uzinduzi huoNancy Sumari akizungumza kwenye uzinduzi huo
Wengine ni pamoja DAKTARI Bingwa wa magonjwa ya watoto na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki, Profesa Esther Mwaikambo, Jokate Mwegelo, Shaa, Ally Remtullah. Fina Mango na wanafunzi mbalimbali.


Akizungumzia jambo lililomsukuma kuandi ka kitabu hicho, Nancy alisema:

Vilinisukuma vitu vingi, kwanza nafasi ya mwanamke kwenye jamii yetu, umuhimu wake, sababu ya kumuenzi na kumsherehekea na kutambua michango yetu, mwanamke mdogo, msichana mdogo, mama zetu, bibi zetu. Kuna kila sababu ya sisi kuangaliana na kutambuana na pia kufananisha.
IMG_7259
Profesa Mwaikambo akikielezea kitabu hichoProfesa Mwaikambo akikielezea kitabu hicho
Profesa Mwaikambo akimuonesha picha ya kwenye kitabu hicho mtoto wa Nancy, ZuriProfesa Mwaikambo akimuonesha picha ya kwenye kitabu hicho mtoto wa Nancy, Zuri
Sababu baada ya kutembea kwenye shule nyingi na kuzungumza na wasichana wengi nimegundua kwamba story zetu zinafanana. Changamoto ni nyingi tunazozipitia na tunafanana kwa vitu vingi kwahiyo nikaona ni vyema nikawafananisha wasichana wengi wakamwangalia mwanamke kama Dokta Migiro wakasikiliza story yake, wakajiona kwenye hiyo hadithi, wakaona uwezo wao wa kufikia alipofikia Dokta Migiro.
K-Lyinn akisaini kitabu cha waliohudhuria uzinduzi huo
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top