Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Prof. Marjorie Mbilinyi atunukiwa tuzo ya (LifeTime Achievment Award Winner 2013) inayotolewa na TWAA


1
 
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Bi. Sophia Simba leo alikuwa Mgeni rasmi
 
katika hafla ya kukabidhi zawadi mbalimbali kwa washindi waTuzo za Wanawake wenye mafanikio (TWAA) mwaka 2013 zilizofanyika katika hoteli ya Serena, jijini Dar-es-salaam.
Mwaka huu, TWAA imepokea zaidi ya washindani 530 wa Tuzo hizo kutoka katika maeneo mbalimbali nchini katika makundi anuai 12 ambayo ni:
 
 
Profesa Marjorie Mbilinyi ameibuka Mshindi wa jumla katika tuzo hizo kwa kuchukua tuzo ya jumla ya LifeTime Achievment Award Winner kutokana na mchango wake katika masuala mbalimbali ya kijamii, kama inavyoonyesha katika picha hapo juu Elika Kibona Mwanafunzi wa PHD Chuo Kikuu cha Dar es salaam UDSM akipmongeza Profesa Marjorie Mbilinyi baada ya kupokea tuzo hiyo.
2
 
Mama Shaymar Kwegir akimpongeza akimpongeza Profesa Marjorie Mbilinyi baada ya kupokea tuzo hiyo hiyo leo aliyekaa ni Naibu Waziri wa Sheria na Katiba Anjela Kairuki.
3
 
Kundi la No Strings Attached likitumbuiza katika hafla hiyo leo. 5
 
Waziri wa Jinsia Wanawake na Watoto Sophia Simba wa pili kutoka kushoto na Naibu Waziri wa Sheria na Katiba Anjela Kairuki wakiwa katika hafla hiyo
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top