Rais
wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Mkuu wa Utumishi wa MCC Bw.Steve
Kaufmann,akiongoza ujumbe wa viongozi wa MCC waliofika Ikulu Mjini
Zanzibar kwa mazungumzo na Rais jana.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais wa zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza laMapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akifuatana na Mkuu wa Utumishi wa MCC
Bw.Steve Kaufmann,kiongoza ujumbe wa viongozi wa MCC waliofika Ikulu
Mjini Zanzibar baada ya mazungumzo na Rais jana.[Picha na Ramadhan
Othman,Ikulu.]


Post a Comment