Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Rais Mstaafu Benjamin Mkapa Alipokutana Kwa Mazungumzo na Rais wa China Xi Jinping



Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Benjamin William Mkapa akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Mhe. Xi Jinping walipokutana kwa mazungumzo maalum katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam wakati wa ziara ya Mhe. Rais Xi hapa nchini.
Mhe. Mkapa akimtambulisha kwa Mhe. Rais Xi Jinping, Mhe. Mahadhi Juma Maalim (Mb), Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
Mhe. Rais Xi Jinping akisalimiana na Balozi Mbelwa Kairuki, Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa huku Mhe. Mkapa akishuhudia.
Mhe. Xi Jinping akisalimiana na Balozi Celestine Mushy, Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kabla ya kuanza kwa mazungumzo kati ya Mhe. Mkapa na Rais huyo.
Ujumbe uliofuatana na Mhe. Mkapa alipokutana kwa mazungumzo na Mhe. Rais Xi Jinping wa China.Picha Zote na Tagie Daisy Mwakawago-Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top