Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Rais wa China Xi Jinping amaliza ziara yake nchini


Rais wa China Xi Jinping, akiagana na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, wakati akiondoka nchini jana. Katikati ni Rais Jakaya Kikwete.


Rais Jakaya Kikwete, akiagana na Rais wa China Xi Jinping, wakati akipndoka nchini jana.


Rais wa China, Xi Jinping na mkewe, wakipunga mikono kuwaaga viongozi wa Tanzania na wananchi waliojitokeza uwanjani hapo kuwaaga jana.


Rais Jakaya Kikwete, Mkewe Mama Salma Kikwete, Makamu wa Rais, Dkt. Bilal, Waziri Mkuu Mizengo Pinda na baadhi ya viongozi wa Serikali, wakipunga mkono kumuaga Rais wa China, Xi Jinping, wakati ndege yake ikianza kuondoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jana jioni kuelekea nchini Afrika ya Kusini, baada ya kumaliza ziara yake ya siku mbili nchini Tanzania
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top