Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

SERIKALI YAAPA KUFA NA MATANGAZO YA DIGITAL

 


Mkurugenzi wa Idara Habari MAELEZO, Asah Mwambene.

Serikali imesema haiwezi kusitisha matangazo ya Digiatl na kurudi kwenye analojia, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Idara HABARI MAELEZO, Asah Mwambene alisema seriakli haitaraji kurudi kwenye analojia kama baadhi ya watu wanavyotaka .

aliongeza kwa kusema mpaka kufikia hapa mchakato ulipita na maandalizi yalifanyika ya kutosha kabla ya kuingia kwenye matangazo ya Digital.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top