Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WAKALA WA NISHATI VIJIJINI KUPITIA WADHAMINI WA RURAL ENERGY AGENCY (REA) KUKIJENGEA KIKOSI CHA JKT MLALE MTAMBO WA KUZALISHA UMEME WA BIYOGESI


Mkuu wa Wilaya ya Songea Bw. Joseph Joseph Mkirikiti akisisitiza jambo katika ufunguzi wa mafunzo katika kikosi cha JKT Mlale
Meneja wa mafunzo na ujengaji uwezo Grace Mathew akitoa maelezo mbele ya mkuu wa wilaya ya Songea Joseph Mkilikiti.
Injinia wa Wakala wa Nishati Vijijini Enocent Nyemo akitoa maelekezo kuhusu mtambo utakao wekwa katika shimo lililochimbwa kwa ajili ya kuweka mtambo.
Injinia wa Wakala wa Nishati Vijijini Enocent Nyemo akitoa maelekezo kuhusu mtambo utakao wekwa katika shimo lililochimbwa kwa ajili ya kuweka mtambo huo.
Shimo hili ni kwa ajili ya mtambo wa Bayogesi utakao wekwa
 
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top