Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WAKILI MAWALLA WA ARUSHA AFARIKI


Wakili maarufu wa Mahakama Kuu ya Tanzania kutoka Kampuni ya Mawala Advocates ya Jijini Arusha, Nyaga Paul Mawalla amefariki dunia.

Taarifa ambazo zimesambaa katika mji wa Arusha na Viunga vyake zinaarifu kuwa Wakili huyo amefikwa na Umauti akiwa jiji la Nairobi nchini Kenya.
 
Source: Father Kidevu
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top