Loading...
BLOG RAFIKI
-
-
VOA Express2 hours ago
-
-
-
-
-
-
-
-
-
Serikali yatoa kauli kuhusu Dbi ya Kariakoo9 months ago
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
Kamati iliyoandaa shughuli
hii,Kushoto ni mwenyekiti wa Kikundi Haika Lawere na kushoto ni Makamu
mwenyekiti-Naomi Kaspar wakiwa na mgeni rasmi mwisho kabisa kushoto ni Angela
Msangi,katika
shughuli zao kwenye hafla ya siku ya Mwanamke iliyofanyika kwenye hoteli ya
Mbezi Garden jijini Dar es salaam
Wajasiriamali wakifungua muziki
pamoja na mgeni rasmi Naibu Waziri wa Sheria na Katiba Mh Angella
Kairuki
Mwenyekiti wa Tanzania Business
Women Enterpreneurs, Haika Lawere akizungumza na wajasiriamali na kuwatia moyo
wasikate tamaa.
Mpangilio wa maonyesho na
bidhaa kabla wageni hawajaanza kutembelea maonyesho hayo.
Naibu Waziri wa Sheria na Katiba
Mh Angella Kairuki,Naibu waziri wa katiba na sheria akizungumza na
wajasiriamali na kuwatia moyo katika shughuli zao kwenye hafla ya siku ya
Mwanamke iliyofanyika kwenye hoteli ya Mbezi Garden jijini Dar es
salaam
Watoa mada katika siku
hiyo,kutoka kulia ni Mr. Zeno Ngowi(Marketing consultant),Alloyce
Mtukamazina(Director of Marketing,GEPF) na wa mwisho kushoto Mr Andrew Peter
Kato(Real estate management consultant)
Mh Angella Kairuki
akitembelea maonyesho wa wajasiriamali
mbalimbali

Post a Comment