Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MAFUNZO YA WATENDAJI WA ZOEZI LA UTAFITI WA HALI YA UTUMISHI ZANZIBAR YAFANYIKA.

01
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Fedha, Uchumi na Mipango ya Maendeleo Juma Ameir Hafidh, akifungua mafunzo ya siku nne juu ya utekelezaji Utafiti wa hali ya Utumishi Nchini, kulia kwake ni Kamishna wa Idara ya Mipango ya Watenda kazi katika ofisi hiyo Seif Shaban Mwinyi. 02
Kamishna wa Idara ya Mipango ya Watenda kazi Ofisi ya Rais Fedha, Uchumi na Mipango ya Maendeleo Seif Shaban Mwinyi, akitoa nasaha kwa washiriki wa mafunzo ya utekelezaji Utafiti wa hali ya Utumishi Nchini kutoka Tasisi za Serekali na zile za Binafsi, huko katika ukumbi wa ZSSF Kilimani nje kidogo ya Mji wa Zanzibar. 03
Mratibu wa Utafiti kutoka Ofisi  ya Takwimu Bi. Khadija Khamis Hamad akifafanua jambo juu utafiti utakao fanywa, kulia Nassra Humuud Salum mshiriki wa mafunzo kutoka Wizara ya Kazi na kushoto Umrat Suleiman Muh’d Ofisa Mipango Fedha, Uchumi Zanzibar.
04
Mhariri Mkuu wa ZBC TV Yussuf Yussuf Khamis kulia akimuliza swali Kamishna wa Idara ya Mipango ya Watenda kazi Ofisi ya Rais Fedha, Uchumi na Mipango ya Maendeleo Seif Shaban Mwinyi juu ya maandalizi ya Utafiti huo huko katika ukumbi wa ZSSF Kilimani nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
 (PICHA NA MAKAME MSHENGA-MAELEZO ZANZIBAR).
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top