MENU
HOME
Contact Us
Featured
KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light
Featured Posts
Loading...
Home
»
Unlabelled
»
RAIS KIKWETE APONGEZA WALIOSHIRIKI ZOEAZI LA UOKOZI AJALI YA JENGO LA GHOROFA DAR
RAIS KIKWETE APONGEZA WALIOSHIRIKI ZOEAZI LA UOKOZI AJALI YA JENGO LA GHOROFA DAR
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi cheti kamanda wa kanda maalum ya polisi Dar es salaam Kamanda Suleiman Kova wakati alipoongea na makundi mbalimbali pamoja na vikosi vya ulinzi na usalama vilivyoshiriki katika zoezi la uokozi wakati wa ajali ambapo jengo la ghorofa liliporomoka , kuuwa na kujeruhi watu kadhaa katikati ya Jiji la Dar es Salaam hivi karibun.Hafla hiyo fupi ilifanyika katika ukumbi wa Sabasaba katik viwanja vya maonyesho ya kimataifa ya Sabasaba Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam leo Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Said Meck Sadick.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akioongea na makundi mbalimbali pamoja na vikosi vya ulinzi na usalama vilivyoshiriki katika zoezi la uokozi wakati wa ajali ambapo jengo la ghorofa liliporomoka , kuuwa na kujeruhi watu kadhaa katikati ya Jiji la Dar es Salaam hivi karibun.Hafla hiyo fupi ilifanyika katika ukumbi wa Sabasaba katik viwanja vya maonyesho ya kimataifa ya Sabasaba Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam leo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akioongea na makundi mbalimbali pamoja na vikosi vya ulinzi na usalama vilivyoshiriki katika zoezi la uokozi wakati wa ajali ambapo jengo la ghorofa liliporomoka , kuuwa na kujeruhi watu kadhaa katikati ya Jiji la Dar es Salaam hivi karibun.Hafla hiyo fupi ilifanyika katika ukumbi wa Sabasaba katik viwanja vya maonyesho ya kimataifa ya Sabasaba Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam leo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na kijana mlemavu Shabani Selemani Mohamed katika ukumbi Sabasaba katuka viwanja vya maonesho ya Sabasaba barabara ya Kilwa ,wakati wa hafla fupi ya kupongeza makundi mbalimbali yaliyoshiri katika kazi ya kuokoa watu na kuopoa miili wakati wa ajali ya kuanguka kwa ghorofa katikati ya Jiji la Dar e Salaam hivi karibuni.
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwapongeza baadhi ya askari wa Jeshi la Wananchi JWTZ walishiriki katika kazi ya kuokoa watu wakati wa ajali ya kupomoka kwa jengo katikati ya jiji la Dar es Salaam hivi karibuni.
CHANZO FULLSHANGWE
on Monday, April 8, 2013
Post a Comment
CodeNirvana
«
Newer Posts
Older Posts
»
BLOG RAFIKI
MICHUZI
WAZIRI TAX AHITIMISHA RASMI MAFUNZO YA CHUO CHA UKAMANDA NA UNADHIMU DULUTI
56 minutes ago
Global Publishers
Nafasi Za Kazi Wilaya Ya Kongwa Mwisho wa maombi Juni 26, 2025
2 hours ago
MTAA KWA MTAA
Mahindra kuja na Magari ya Umeme na Gesi Tanzania
3 hours ago
JIACHIE
Mahindra kuja na Magari ya Umeme na Gesi Tanzania
3 hours ago
BUKOBAWADAU
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan atembelea Kituo cha Utamaduni na Makumbusho ya Wasukuma Bujora pia ahudhuria Tamasha la Utamaduni la Bulabo, Kisesa Mkoani Mwanza
9 hours ago
Voice of America
Jioni
17 hours ago
CCM Blog
MNAKARIBISHWA LEO KWENYE KIKAO CHA WAFANYABIASHARA CHA UFUNGUZI WA HUDUMA MPYA YA NDEGE YA MIZIGO.
1 day ago
Wazalendo 25 Blog
Kimataifa : EU na UNHCR Wasaini makubaliano ya zaidi bilioni 9 kuimarisha Ulinzi na msaada wa wakimbizi
2 days ago
SUFIANIMAFOTO
TUWAPE FARAJA FAMILIA ZENYE WATOTO WENYE USONJI, TUSIWATENGE -JACKLINE MJEMA
1 month ago
LUKAZA
KUUNDWA KWA JAB NI HATUA YA KUIMARISHA NA KUBORESHA SEKTA YA HABARI - MAJALIWA
1 month ago
Mtanzania
Serikali yatoa kauli kuhusu Dbi ya Kariakoo
2 months ago
Blogu ya Wananchi
4 years ago
Mwanaspotimwanzo
Kisa Simba, Yanga yamsimamisha mwanasheria wao
4 years ago
Mwananchimwanzo
Magufuli awatuliza wabunge nafasi za uwaziri
4 years ago
JESTINA GEORGE
Waziri Ndalichako azindua chuo kipya cha VETA Kagera
5 years ago
Chadema Blog
Hotuba ya Lissu; azungumzia kukoma Ubunge, atangaza hatua zinazofuata
5 years ago
Masama Blog
Canon IR-2525 Treiber Drucker Download
6 years ago
EMMANUEL SHILATU
Ufafanuzi wa TCRA kuhusu kuondoa chaneli za runinga zinazotazamwa bila kulipia (FTA) kutoka ving'amuzi vya Azam, Multichoice na Zuku
6 years ago
JUMA MTANDA
MAISHA YA MWANASOKA HODARI, PELE NA MAISHA NJE YA SOKA YANASIKITISHA !
7 years ago
AUDIFACE JACKSON BLOGSPOT
7 years ago
HANDENI KWETU
Muriya: Makazi yetu Oman ni fursa za kiuchumi kwa watu wote
7 years ago
Sports & Entertainment Blog
Huu ndio mpira utakaotumika Kombe la Dunia 2018
7 years ago
PropertyFinder.co.tz - Tanzania property and accommodation directory | Listings from LICENSED real estate agents (zamani TZadverts.com)
Shop To Let located at corner Congo and Muhoro St. Kariakoo. (USD 0)
7 years ago
BongoClan™
DIAMOND AJIBU MAPIGO AFUTA MAPICHA YOTE YA ZARI, KISA HIKI HAPA
7 years ago
dj sek
PIKIPIKI YAZUA HOFU BAADA YA KUTELEKEZWA MWAKA MZIMA JIJINI DAR ES SALAAM, UKIIKARIBIA, IKIIGUSA INAJIWASHA POLISI WAGWAYA KUIPELEKA KITUONI
8 years ago
Mbeya Yetu
TIBA YA MAGONJWA YAKO NA MATATIZO MBALIMBALI SASA HII HAPA BEI NAFUU SOMA HAPA KWA MAKINI
8 years ago
JANJARUKA
KAHABA MJAMZITO ANASWA AKILIWA URODA NA MCHUNGAJI
9 years ago
Home
JamiiForums | The Home of Great Thinkers
HabariLeo | Gwiji la Habari Tanzania
Mwanzo - BBC Swahili
Raia Mwema | Gazeti la Tanzania lenye habari na makala mbalimbali
Show 5
Show All
Popular Posts
MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2012 HAYA HAPA
WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa leo ametangaza matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba 2012 uliofanyika...
WANACHAMA WA FREEMASON TANZANIA HAWA HAPA
Sir Andy Chande akiwa na wenzake wakipanda Miti jijini Tanga kama moja ya shughuli zao za kijamii Tanzania ina wanachama hai...
PICHA ZA NGONO TANZANIA ZINAHAMASISHWA NA MASTAA WA BONGO?.
Kadri siku zinavyozidi kwenda vinaibuka vyanzo kibao vinavyosababisha kushamiri kwa ngono za wazi mbele ya maelfu ya wananchini wa T...
Hizi hapa Staili mbalimbali za Mapenzi
Nimepita Sehemu fulani, nimeona kuna mzozo eti ni ipi staili nzuri saa ya kufanya mapenzi, kweli hili suala lina mitazamo mingi. Mim...
Picha hizi za Wema Sepetu akipata Penzi Moto la Diamond ndio zinakimbiza Instagram na Mitandao Yote
Dayum ! Wema Sepetu is showing off a new bald look. Wema Sepetu with her One & Only Naseeb Abdul ‘Diamond Platnum...
© Copyright
EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Post a Comment