Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WANANCHI WAMKATAA MWENYEKITI ..... HALI LILIKUWA TETE

Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma Robert Kitimbo akiwaelekeza jambo maafisa wa polisi walopokuwa kwenye Mkutano wa Hadhara ulioitishwa na wananchi wa kitongoji cha Njedengwa hata hivyo mkutano huo ulivunjika ktokana na wannchi kumkataa Mwenyekiti wao Denis Said.
Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma Robert Kitimbo Akijadiliana jambo na polisi waliofika katika mkutano wa Hadhara uliovunjika kwa shinikizo la wananchi waliokuwa wakimkataa Mwenyekiti wa kitongoji chao Njedengwa Denis Said aliyekaa mwisho kushoto na anaemfuatia ni Mwenyekiti wa kijiji Cha Dodoma Makulu Bedson Chidumule.
Wananchi wa Kitongoji Cha Njedengwa Kata ya Dodoma Makulu Wakiwa na Mabango yenye Ujumbe wa kumkataa Mwenyekiti walipokuwa kwenye Mkutano wa Hadhara walioudai wananchi hao ambao hata hivyo ulivunjika kutokana na wananchi hao kugoma Mwenyekiti huyo Denis Said asifungue mkutano.
Wananchi wa Kitongoji Cha Njedengwa Kata ya Dodoma Makulu Wakiwa na Mabango yenye Ujumbe wa kumkataa Mwenyekiti walipokuwa kwenye Mkutano wa Hadhara walioudai wananchi hao ambao hata hivyo ulivunjika kutokana na wananchi hao kugoma Mwenyekiti huyo Denis Said asifungue mkutano.

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top