Mbunge
wa Jimbo la Singida Mashariki Tundu Lissu (kushoto) akijadiliana jambo
nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma leo na Mbunge wa Jimbo la Iringa
Mjini Peter Msigwa(katikati) na kulia ni Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini
, Joseph Mbilinyi maarufu kwa jina la Sugu.
Picha na Magreth Kinabo -MAELEZO


Post a Comment