Mwili wa Marehemu Ernest Zulu, Afisa Habari Mkuu Ofisi ya Bunge umewasili nchini kutoka Malaysia ambako alikuwa akisoma hadi umauti ukamkuta. Heshima za mwisho zitatolewa leo tarehe 30 Mei, 2013 nyumbani kwake Dar es Salaam, Ubungo-Kibangu kuanzia saa tano asubuhi 

Mke wa marehemu Zulu (aliyefunga mkono) akiwa kanisani

Watoto wa marehemu Zulu wakiomboleza kifo cha baba yao mpendwa
Maandalizi ya ibada ya Misa takatifu ya kumwombea marehemu
Waomboleza kwenye msiba wa marehemu Ernest Zulu
Maandalizi ya ibada ya Misa takatifu ya kumwombea marehemu
Waomboleza kwenye msiba wa marehemu Ernest Zulu



Post a Comment