
Baaadhi wabunge wakiingia katika ukumbi wa Bunge mjini
Dodoma leo.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera , Utaribu na
Bunge William Lukuvi ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Ismani, Iringa (kushoto)
akizungumza jambo na baadhi ya wabunge wa CHADEMA ambao ni Peter Msigwa,
David Silinde , Joseph Mbilinyi , Makongoro Nyerere Ezekhia Wenje nje ya
kumbi wa Bunge mjini Dodoma leo.

Waziri wa Afya na Ustawi
wa Jamii, Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya
viongozi kutoka Sauti ya Walemavu ,aliyevaa fulana nyeupe ni Alex Mhando mjini
Dodoma leo.Picha zote na Magreth Kinabo - MAELEZO
DODOMA.


Post a Comment