Katibu mkuu wa wizara ya maendeleo ya jamii, jinsia na watoto bibi. kijakazi R. Mtengwa (katikati) akipongezwa na baadhi ya wabunge mara baada ya bajeti ya wizara hiyo kuidhinishwa na Bunge
Waziri wa maendeleo ya jamii, jinsia na watoto mhe. sophia m. simba (mb.) akipongezwa na baadhi ya wakurugenzi wa wizara hiyo mara baada ya bajeti ya wizara yake kuidhinishwa na bunge.
Waziri wa maendeleo ya jamii, jinsia na watoto mhe. sophia M. Simba (mb.) akipongezwa na baadhi ya wakurugenzi wa wizara hiyo mara baada ya bajeti ya wizara yake kuidhinishwa na bunge 

Waziri wa maendeleo ya jamii, jinsia na watoto mhe. sophia M. Simba (mb.) na naibu wake mhe. Ummy mwalimu (mb.) wakipongezwa baada ya bajeti ya wizara hiyo kuidhinishwa na bunge




Post a Comment