JENEZA LENYE MWILI WA MWANAMUZI ALBERT KENETH MANGWEA LIKIWA
LIMEBEBWA JUU JUU NA WAKAZI WA MJI WA MOROGORO MARA BAADA YA KUTEREMSHWA
KATIKA GARI, HATA HIVYO HALI ILIKUWA MBAYA KWA WAANDISHI HASA PALE
WALIPOTAK
A KUCHUKUA PICHA NA KUSHINDWA KUTOKANA
WINGI WA UMATI WA WATU KUANZIA ENEO LA JAMHURI HADI MAKABURI NA HII
INADHIHIRISHA KUWA NGWEA ALIKUWA NA THAMANI KUBWA MBELE YA WATANZANIA,
PICHA WWW.JUMAMTANDA.BLOGSPOT.COM
ULINZI ULIKUWA MKALI LAKINI KUTOKANA NA UMATI MKUBWA WA WATU KAZI YA
KUWALINDA WATU HAO ILIKUWA NGUMU KAMA PICHANI INAYVYOONEKANA.HII NI SEHEMU YA KWANZA YA MATUKIO YA MAZISHI YA MANGWEA KWANI SEHEMU YA PILI UTAWEZA KUONA NAMNA WATU WALIVYOJITOKEZA MAENEO MBALIMBALI YA BARABARA KUU ZA MANISPAA YA MOROGORO WAKIWA WAMEKAA KANDO YA BARABARA WAKITAKA KUSHUHUDIA SAFARI YA MWISHO YA KIPENZI CHETU ALBERT KENETH MANGWEA



“Marehemu Albert Mangweha azikwa kishujaa sana ni umati usioelezeka mungu akulaze mahali pema peponi,” ameandika Izzo B kwenye Instagram.
Naye Lady Jaydee kupitia Twitter ameandika: Mpk hapa tulipomsindikiza panatosha. Mungu amrehemu, kazi tumeimaliza. Life goes on.”



Picha kutoka kwenye akaunti za Instagram za Millard Ayo, Mboni Masimba na Mwasiti.
Hapa
jeneza la Ngwair linaingizwa karubini, ikiwa ni picha inayoonyesha kuwa
hatutaweza tena kukutana na msanii huyu hapa chini ya jua. R.I.P
Ngwair.....
Jeneza lenye mwili wa Albert Mangweha likishushwa kaburini.
/> Hapa ndipo
alipolala Mangweir.



Post a Comment