Loading...
Home »
Unlabelled »
FEZA WA TANZANIA ANUSURIKA KUYAAGA MASHINDANO YA BIG BROTHER...KOKETSO NA LK4 KWAHERI
FEZA azidi kupeta
mjengoni....
Mtanzania FEZA amenusurika kutoka katika jumba la biggie
baada ya kuwa up for possible eviction kufuatia kuwekwa kitanzini (nominated)
Jumatatu iliyopita...
Koketso mshiriki kutoka South Africa
na LK4 ambaye ni mshiriki kutoka Uganda wamekuwa washiriki wa tatu na wa nne
kutoka katika jumba la Big Brother Africa baada ya Denzel na Huddah kuyaaga
mashindano wiki iliyopita..
Hivi ndivyo walivyopigiwa kura na nchi tofauti
:
Total: Hakeem = 6; Feza = 3; Dillish =3, Koketso = 2, LK4 = 1.
(Total: 15 Votes)
on Monday, June 10, 2013
Post a Comment