Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

HOUSE GIRL AJINYONGA KISA? PENZI LA CHRISTOPHER .... AACHA UJUMBE MZITO KABLA YA KUJIUA .... RIPOTI KAMILI HII HAPA




 




Mfanyakazi wa ndani aliyejiua kisa mapenzi aitwaye Devotha Sanga jana ameagwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam.

Marehemu Devotha alijinyonga Juni 4 mwaka huu akiwa nyumbani kwa bosi wake eneo la Kitunda jijini Dar kwa wivu wa mapenzi.

Devotha alikuwa katika penzi na kijana mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Christopher anayedaiwa kuwa na wapenzi wengi kiasi cha kusababisha marehemu kuchukua uamuzi huo.

Baada ya kuagwa mwili wa Devotha umesafirishwa kuelekea Njombe kwa mazishi.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top