




















Twiga ni mojawapo ya wanyama ambao pia wanauliwa na majangili
Mhifadhi
wa Ruaha Nation Park Paul Banga akitoa maelekezo kwa wahariri wa vyombo
vya habari kabla ya kuingia mbugani jana kwa lengo la kujifunza utalii
wa ndani na kujionea wanyama mbalimbali wanaopatikana katika hifadhi
hiyo
Wahariri wa vyombo vya habari wakiwa katika geti la kuingilia kwenye mbuga ya Ruaha Nation Park.PICHA NA KIKOSI KAZI CHA FULLSHANGWE-RUAHA NATION PARK


Post a Comment