Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MABINTI WA KITANGA WATEMBELEA MAPANGO YA AMBONI...SHOO YAO NI JUMAMOSI MKWAKWANI, PATAPENDEZA MAANA TOTOZ NI ZA UKWELI


IMEWEKWA JUNI 18, 2013 SAA 12:30 JIONI

Washiriki wa shindano la Redd's Miss Tanga 2013, linaloandaliwa na kampuni ya DATK Entertainment, ambalo litafanyika Jumamosi wiki hii kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga wakitokeza kwenye moja ya mapango ya Amboni jioni leo, wakati walipotembelea mapango hayo ya kihistoria kujifunza mbalimbali kuhusu mapango hayo. 

Vimwana hao

Totoz kikomandoo

Full Mashauzi..chezea mabinti wa Kitanga weweee

Kwa mapozi sasa...

Mbele ya bango la Amboni

Hapa wanauliza maswali mbalimbali kuhusu mapango hayo, kutoka kwa Ofisa mtoa mwongozo katika mapango hayo

Wamenogaje???

Mahojiano na vyombo vya Habari...

Pozi kwenye mwamba...

Kila aina ya poz CREDITS: BIN ZUBEIRY  
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top