Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL, AFUNGUA KONGAMANO LA USHINDANI WA NCHI WANACHAMA WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI

 



IMG_7600
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohammed Gharib Bilal, akifungua kongamano kuhusu ushindani kwa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki lililoandaliwa na Jukwaa la Uchumi Duniani( World  Economic Forum) na kufanyika New Arusha Hotel mjini Arusha leo Juni 7/2013. IMG_7586
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na katibu mkuu wa Jumuiya ya Afrika mashariki Richard Sezibera baada ya kufungua kongamano kuhusu ushindani kwa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki lililoandaliwa na Jukwaa la Uchumi Duniani( World  Economic Forum)na kufanyika New Arusha Hotel mjini Arusha leo Juni 7/2013. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
  IMG_7617
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohammed Gharib Bilal katikati katibu mkuu wa umuiya ya afrika Mashariki Richard Sezibera kulia, Mkuu wa mkoa Arusha Magesa Mulongo kushoto na aliyekua Waziri wa mambo ya ndani Lawrence Masha wakifuatilia moja ya mada zilizokuwa zikiwasilishwa kwenye kongamano kuhusu ushindani kwa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki lililoandaliwa na Jukwaa la Uchumi Duniani( World  Economic Forum) na kufanyika New Arusha Hotel mjini Arusha leo Juni 7/2013
IMG_7641
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na katibu mkuu wa Jumuiya ya Afrika mashariki Richard Sezibera baada ya kufungua kongamano kuhusu ushindani kwa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki lililoandaliwa na Jukwaa la Uchumi Duniani( World  Economic Forum)na kufanyika New Arusha Hotel mjini Arusha leo Juni 7/2013. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais) IMG_7626
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohammed Gharib Bilal, katikati akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa kongamano kuhusu ushindani kwa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki lililoandaliwa na Jukwaa la Uchumi Duniani( World  Economic Forum) na kufanyika New Arusha Hotel mjini Arusha leo Juni 7/2013. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top